+255 741 348 284
|
CHETU AGROSOLUTION logo

Ushauri wa Kilimo

Kila zao lina mahitaji yake — aina ya udongo, mbolea, umwagiliaji na udhibiti wa wadudu. Timu yetu ya wataalamu wa kilimo ipo tayari kukusaidia:

  • Kuchagua mbegu bora zinazofaa eneo lako na msimu
  • Kupanga matumizi sahihi ya mbolea kulingana na zao na hatua ya ukuaji
  • Kutambua wadudu na magonjwa na kupendekeza dawa sahihi
  • Kupanga ratiba ya upandaji na palizi

Tembelea duka letu, tupigie simu au tuandikie WhatsApp — ushauri ni bure kwa wateja wote.

Omba Huduma Hii